Washindi Tuzo za TFF 2023/24

Washindi Tuzo za TFF 2023/2024, Tuzo hizo zimepangwa kufanyika Agosti 1, 2024, katika ukumbi wa The Super Dome Masaki, Dar es Salaam. Kamati ya Tuzo za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) tayari imefanya uteuzi wa washiriki katika makundi mbalimbali ya tuzo hizo.

Makundi ya Tuzo za TFF 2023/2024

Tuzo za TFF 2023/2024 zimegawanyika katika makundi matano:

  • Tuzo za Kombe la Shirikisho la CRDB
  • Tuzo za Ligi Kuu ya Wanawake
  • Tuzo za Ligi Kuu ya NBC
  • Tuzo za Utawala
  • Tuzo za Ligi nyingine

Wanaowania Tuzo na Washindi

Tuzo za Kombe la Shirikisho la CRDB

Mfungaji Bora:

  • Clement Mzize – Yanga
  • Edward Songo – JKT Tanzania

Kipa Bora:

  • Djigui Diarra – Young Africans
  • Khomein Abubakar – Ihefu SC
  • Mohamed Mustafa – Azam FC

Mchezaji Bora:

  • Aziz KI – Yanga
  • Feisal Salum – Azam FC
  • Clement Mzize – Yanga
  • Ibrahim Bacca – Yanga
  • Kipre Junior – Azam FC

Tuzo za Ligi Kuu ya NBC Tanzania

Kocha Bora:

  • Miguel Gamondi – Young Africans (Mshindi)
  • Bruno Ferry – Azam FC
  • David Ouma – Coastal Union

Mchezaji Bora:

  • Aziz KI – Yanga (Mshindi)
  • Feisal Salum – Azam
  • Kipre Junior – Azam
  • Djigui Diarra – Yanga
  • Ley Matampi – Coastal
  • Attohoula Yao – Yanga
  • Ibrahim Bacca – Yanga
  • Mohamed Hussein – Simba

Beki Bora:

  • Attohoula Yao – Young Africans
  • Ibrahim Bacca – Young Africans (Mshindi)
  • Mohamed Hussein – Simba SC

Golikipa Bora:

  • Djigui Diarra – Young Africans
  • Ley Matampi – Coastal Union (Mshindi)
  • Ayoub Lakred – Simba SC

Kiungo Bora:

  • Feisal Salum – Azam FC (Mshindi)
  • Aziz KI – Yanga SC
  • Kipre Junior – Azam FC

Mchezaji Bora Chipukizi:

  • Semfuko Charles – Coastal
  • Shomary Raheem – KMC (Mshindi)
  • Costantine Malimigeita

Seti Bora ya Waamuzi:

  • Simba SC 1-5 Young Africans; Ref-Ahmed Arajiga, Asst-Mohamed Mkono, Asst-Kassim Mpanga, 4th -Ramadhan Kayoko
  • Azam FC 2-1 Young Africans; Ref-Hery Sasii, Asst-Frank Komba, Asst-Kassim Mpanga, 4th -Isihaka Mwalile (Mshindi)

Mwamuzi Msaidizi Bora:

  • Frank Komba
  • Mohammed Mkono (Mshindi)
  • Kassim Mpanga
  • Janeth Balama
  • Zawadi Yusuph

Mwamuzi Bora:

  • Tatu Malogo
  • Ahmed Arajiga (Mshindi)
  • Abdallah Mwinyimkuu
  • Amina Kyando
  • Hery Sasii
  • Saad Mrope

Timu Yenye Nidhamu:

  • Ihefu
  • Kagera Sugar
  • Mtibwa Sugar (Mshindi)

Tuzo za Utawala

Meneja Bora:

  • Amir Juma – Azam Complex (Mshindi)
  • Nasser Makau – Mkwakwani
  • Shaaban Raiabu – Lake Tanganyika

Kamishina Bora:

  • Martin Kibua – Tanga
  • Zena Chande – Dar es Salaam (Mshindi)
  • Hamis Kitila – Singida
  • Sadick Jumbe – Mbeya

Tuzo za Ligi Nyingine

Mchezaji Bora NBC Championship:

  • Boban Bogere – Biashara Utd
  • Casto Mhagama – Kengold FC (Mshindi)
  • Edgar William – Kengold FC

Mchezaji Bora First League:

  • Mohamed Bakari – African Sports (Mshindi)
  • Ayoub Masudi – African Sports
  • Ahmad Ndondi – Malimao

Mchezaji Bora Ligi ya U-20:

  • Bruno Nataly – Kagera Sugar
  • Omary Shaaban – Mwinyimvua-Dodoma Jiji
  • Ally Mohamed Golo – Azam

Mchezaji Bora Beach Soccer:

  • Jaruph Rajabu Juma – Friends of Mkwajuni 2
  • Yahya Tumbo – Vingunguti Kwanza
  • Abdillah Mohammed – Rata FC

Mchezaji Bora Anayecheza Nje (Me):

  • Mbwana Samatta
  • Novatus Dismas
  • Himid Mao

Mchezaji Bora Anayecheza Nje (Ke):

  • Clara Luvanga
  • Aisha Masaka
  • Oppah Clement

Tuzo za Ligi Kuu ya Wanawake

Mfungaji Bora:

  • Aisha Mnuka – Simba Queens (Mshindi)

Kipa Bora:

  • Najath Abbas – JKT Queens
  • Caroline Rufaa – Simba Queens
  • Mariam Shaaban – Bunda Queens

Mchezaji Bora:

  • Aisha Mnuka – Simba Queens
  • Stumai Abdallah – JKT Queens
  • Kaecla Wilson – Yanga Princess
  • Violath Nicholaus – Simba Queens
  • Vivian Corazone – Simba Queens

Kocha Bora:

  • Juma Mgunda – Simba Queens (Mshindi)
  • Esther Chabruma – JKT Queens
  • Noah Kanyoga – Ceasiaa Queens

Mchezaji Bora Chipukizi:

  • Esther Maseke – Bunda Queens
  • Lyidia Kabambo – JKT Queens (Mshindi)
  • Bituro Mgosi – Bunda Queens

Mwamuzi Msaidizi Bora:

  • Sikudhan Mkurungwa
  • Glory Tesha
  • Zawadi Yusuph (Mshindi)
  • Monica Wazael
  • Getruda Gervas

Mwamuzi Bora:

  • Amina Kyando
  • Tatu Malogo
  • Anitha Kisoma
  • Esther Adalbert

Timu Yenye Nidhamu:

  • Bunda Queens
  • Simba Queens (Mshindi)

Tuzo za TFF 2023/2024 ni fursa nzuri ya kutambua na kusherehekea mafanikio ya wachezaji, makocha, na viongozi katika soka la Tanzania.

Tunawapongeza washindi wote na wale walioteuliwa, kwani mchango wao unathaminiwa sana katika kuendeleza soka la nchi yetu. Huu ni wakati wa kujivunia na kuendelea kujituma zaidi kwa mafanikio ya baadaye.

Soma Zaidi:

Nimebobea kwenye uandaaji wa makala za mtandaoni, Makala zilizofanyiwa uchunguzi wa kina.