Makundi ya kufuzu kombe la Dunia 2026 afrika

Makundi ya kufuzu kombe la Dunia 2026 afrika, Kwa kufuzu kwa Kombe la Dunia 2026, Afrika imegawanywa katika makundi tisa, kila kundi likiwa na timu sita. Hapa chini ni orodha ya makundi yote:

Makundi ya Kufuzu Kombe la Dunia 2026 Afrika

Kundi A

    • Misri
    • Burkina Faso
    • Guinea-Bissau
    • Sierra Leone
    • Ethiopia
    • Djibouti

Kundi B

    • Senegal
    • Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
    • Mauritania
    • Togo
    • Sudan
    • Sudan Kusini

Kundi C

    • Nigeria
    • Afrika Kusini
    • Benin
    • Zimbabwe
    • Rwanda
    • Lesotho

Kundi D

    • Cameroon
    • Cape Verde
    • Angola
    • Libya
    • Eswatini
    • Mauritius

Kundi E

    • Morocco
    • Zambia
    • Congo
    • Tanzania
    • Niger
    • Eritrea (imejiondoa)

Kundi F

    • Ivory Coast
    • Gabon
    • Kenya
    • Gambia
    • Burundi
    • Seychelles

Kundi G

    • Algeria
    • Guinea
    • Uganda
    • Mozambique
    • Botswana
    • Somalia

Kundi H

    • Tunisia
    • Equatorial Guinea
    • Namibia
    • Malawi
    • Liberia
    • Sao Tome e Principe

Kundi I

    • Mali
    • Ghana
    • Madagascar
    • Jamhuri ya Afrika ya Kati
    • Comoros
    • Chad

Kila mshindi wa kundi atafuzu moja kwa moja kwa Kombe la Dunia 2026, na timu nne bora zilizoshika nafasi ya pili zitaingia kwenye mtoano wa CAF ili kuwania nafasi ya ziada katika mchujo wa kimataifa

Kazi Forums Ni chanzo chako bora cha makala na habari za kuaminika zilizochapishwa kwa weledi zaidi na uchunguzi wa kina.